Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba nasi tusilete ujuaji, tukifika penati tunachomolewa, kina Bwalya wanapiga penati ka wamefungiwa barafu miguuni...
Last game Namungo walitukazia mbaya....
Mungu tusaidie.
Weee hizo habari za barcelona ulizikia kwa nani?Huyu kaze na johora wake warudi kwa kuogelea manina zao.
Hivi alipita Barcelona ya wapi huyu?
yamekuwa hayo tena 😹😹😹😹Huyu kaze na johora wake warudi kwa kuogelea manina zao.
Hivi alipita Barcelona ya wapi huyu?
Mashabiki wa yanga ambao mlikuwa mnapima huzuni ya ndugai iliyochanganyikana na maumivu pamoja na wingi wa stress nadhani kupitia mechi ya leo majibu mmeyapata
Lakini Manyara alisemaga kwamba washindani wao ni Azani fc.
Leo ndio nimetambua.
Mshindi wa pili na wa tatu kwenye ligi lazima wawe washindani.
Kweli mganga wao ana masharti jamani
Hahaaaaa bro ile ndo yanga tunayo ijua ....maana leo hamjacheza na refa dadekiMayele alivyoingia uwanjani nilisikia mayowe na vifijo, mpira unaisha anatoka ile love ya mwanzo aliyokaribishwa nayo haipo watu wamevimba midomo kama wamebwiya kubeli
Jamani wananchi bila uzalendo ni kazi bure, jamaa tulipaswa kumpa heshima yake kitendo tulichomfanyia sio cha kiungwana na kitamuaribu kisaikolojia
Cc ShadeeyaKesho utasikia
Sisi ndio mabingwa wa Kihistoria.
The Return of Champions.
Nawambia sasa hasira zao zote zitahamia kwenye kuwahonga Marefarii, ili wasiabike tena milele.