FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

Yanga atashinda hi game hakuna upinzani ..Kuna katitiz kadgo ila yapo matumanini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Limegeuka kuwa swala la matumani tena, si tulikubaliana kuwa hakuna team ya kuisumbua Yanga Sc katika ukanda huu wa CECAFA na kwamba Hilal atapigwa kama ngoma??
 
Hivi kwanini ni kipindi cha pili ndo wanafunga?
half time ndo wanapata nafasi ya kufanya miamala kwa refa na wachezaji wa timu pinzani.ila kwa Al hilal awawezi jamaa wanalipana mishahara minono na wanapesa chafu yani.
 
TULIZENI MSHONO,GAME BADO
NA KILA JIWE LILILO JUU YA JENGINE,LITAONDOSHWA
 
Mpaka waweze..! Simba SC anaposhinda Lupaso wao wanaona kazi rahisi yaani.

Hii game wasipopata ushindi itakuwa mbaya sana kwao.
Hii game Ata wakishinda moja bila bado wanakazi sana jamaa wazoefu sana sjui nin kitatokea ila yanga ili afuzu inahitajika nguvu ya zaidi sana
 
Limegeuka kuwa swala la matumani tena, si tulikubaliana kuwa hakuna team ya kuisumbua Yanga Sc katika ukanda huu wa CECAFA na kwamba Hilal atapigwa kama ngoma??
Koma we MAKOLO na jifunze kuwa na akiba ya maneno maana mpira ni dakika 90.
 
Poleni sana Yanga game plan mbovu sana Aziz K hana faida kbsa, badala ya kuingia ndani ya box mnapiga cross kitu ambacho ni zero hadi Sasa, Moloko hana faida, Bora angecheza Gael nafasi ya aucho, mwamnyeto aingie bangalq apige SITA Faisal na kisinda waengeze nguvu
 
Yanga anahitaji "atleast" magoli mawili second half
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…