FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

Mechi nane zilizopita nne mnyama kakalia chuma,zote ni ngao!?..Simba ikicheza ngao na ikicheza caf mzamiru anakua tofauti!?
Huwezi kuelewa naona wewe labda umewahi kucheza rede tu. Wachezaji wanatumia energy tofauti kutokana na mpinzani alivyo vile vile kutokana na mashindano.

Hii energy mliotumia Leo haiwezi kuwa Sawa mngekutana na Al hilal mechi ya kirafiki dhidi ya wachezaji hao hao.
 
Leo uzi umeendaa ila nyie Simba sio wa njiii hii mmeujaza udhi wa watu nyeee.
 
Rudisha kwao hao wakongo,hawana msaada.
 
Aisee
 

Attachments

  • 0d82e68bf6b149d48aaddcf4762e8ff6.mp4
    1.2 MB
Sijui ni uchawi!!!! Yani nlishangaa Yanga walivyochanganyikiwa. Hovyo kabisaa
 
Focus imeamia NBC baada ya kuona CAF pagumu?

Kwa malengo yenu hayo basi ile record yenu ya 1998 mtakuja kuivunja 2060
Kikubwa tunakupakata 'kila mtu na d.em.u wake'sauti ya mr nice
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Uzuri ni kwamba furaha kwa mashabiki bado ipo

Furaha ni kuona Yanga ikizidi kucheza mechi yake ya 44 bila kupoteza, naam hicho kwetu kina maana kubwa sana
Naam...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…