FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

Ulishawahi sikia 'juhudi na maarifa'!?..mzamiru anakua na maarifa' gani caf zaidi ambayo ngao yanakua hayapo!?...galaxy si alikufumua tatu hapo kwa mkapa!?.. energy haikuwepo!?
 
Simba ni kama mtoto yatima nchi hii, viongozi wote wa serikali wanaisapoti Yanga.

Ndio maana kimataifa Simba wanapigana kwa jasho na damu.

Mlikuwa mnachukulia kirahisi rahisi tu. Leo nadhani mmejionea wenyewe.

Bila msaada wa marefarii nyie ni utopolo tu.
 
Ndoto hizi, naona unaweweseka, ninyi ni Utopolo.

Huwa mnaishia raundi za awali kwa miaka tajwa hapo juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…