FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

Kifo ni suala la muda tu ila kipo palepale. Asanteni kwa kushiriki Uto
 
Kila kitu kinaanzia rohoni ndipo hudhihirika kwenye ulimwengu wa damu na nyama. Yanga walitoe hilo limwenge kwenye nembo yao.
Mwenge pia una laana, umelaanika. Soma Isaya 50:11

Isaya 50:11
[11]Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika mwali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
Behold, all ye that kindle a fire, that compass yourselves about with sparks: walk in the light of your fire, and in the sparks that ye have kindled. This shall ye have of mine hand; ye shall lie down in sorrow.
Hatutaki habari za hivi leo tuache kwanza, njoo kesho
 
LILEPO HAT TRICK [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Tulia upakatwe wewe
IMG_20221007_204953.jpg
 
Wakuu Leo Ndio Leo, Mtoto Atumwi Dukani, Ngoma Ya Mtoto haikeshi, Usiku Wa Deni Haukawii Kukucha.
.
Leo majira ya saa 10:00 jioni, katika dimba la Benjamin Mkapa, Yanga watashuka dimbani katika mchezo wao dhidi ya Al Hilal ya Sudan katika Ligi ya Mabingwa Afrika.
.
Ikumbukwe, katika michezo Yao ya awali, Yanga waliwatoa Zalan na Al Hilal wakawatoa St. George ya Ethiopia.
.
Yanga inafundishwa na Kocha Prof. Nabi huku wapinzani wao wakinolewa na Kocha Ibenge.
.
Iwe Jua Iwe Mvua Team Ya Yanga inahitaji ushindi Wa kuanzia goli 3 ili kujihakikishia nafasi ya Kusonga Mbele.
.
Mechi itakuwa live kupitia Azam Sports 1HD
.


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwakuwa mimi naishi Sudan ya huku Temeke, sina budi kuwatakia kila la heri Al Hilal katika mchezo wa leo
 
Back
Top Bottom