FT:Yanga 1 - 1 Malindi

Aisee naona umewasili sasa hayo matikiti yako wapi
Jamaa wameoga,wamefua na wamepasi na hivi sasa wako mjini, wanataka kumshikisha adabu Chura nyumbani kwake.
Je ni kina nani hao? Shadeeya
Mpira una matokeo Matatu lakini Mtani ikitokea hivyo pia sio mbaya.

Najua watapata mashabiki wengi tu ila tupo ngangari kuhakikisha tunapata matokeo nyumbani. Karibu Mtani.
 
Moringa atusaidie Mbegu tu kwa Dada zetu
 
Mikia FC kazini.
 
Nyinyi mnataka wacheze vipi ?
Je timu za Zanzibar ziliweka wapi kambi? ??
Mbona mna matatizo sana na Yanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…