OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
FT Kipanga 0-3 SimbaSawa. Tunashukuru kwa taarifa. Na vipi kuhusu matokeo ya simba na Kipanga fc, yalikuwaje?
Mbona kama unazoza. Hapa tumeweka matokeo tu,au unajishtukia?
Mimi sizozi mkurugenzi. Nimem quote tu hapo mrembo wetu Kalpana. Tena katika hali ya kawaida kabisa baada ya kuishangaa mbuni!Mbona kama unazoza. Hapa tumeweka matokeo tu,au unajishtukia?
Ila kama umepanick mkuu,mi siijui kweli mbuni fc hata kipanga pia nilikua siijui.
Ni utani wa jadi tu mtani. Sijapaniki wala nini. Inawezekana nimeeleweka tu tofauti.Ila kama umepanick mkuu,mi siijui kweli mbuni fc hata kipanga pia nilikua siijui.
Mbuni fc ipo daraja la ngapi?????Mechi ya kirafiki imemalizika kwa matokeo hayo.
Timu ya Mbuni FC inatoka Arusha ambapo mchezo huu umetumika kama mchezo wa kujiimarisha na kujiandaa na mchezo wa CAF dhidi ya Al Hilal. Yanga iliingia na kikosi cha kwanza huku magoli yakifungwa na Mayele na Feitoto
Ni hayo tu
Kipanga inashiriki ligi kuu zanzibar,Mbuni ni timu ya kijiji huko MonduliIla kama umepanick mkuu,mi siijui kweli mbuni fc hata kipanga pia nilikua siijui.
.Mbuni fc ipo daraja la ngapi?????
hahahahaha,punguza ushabiki mbuni iko championshipKipanga inashiriki ligi kuu zanzibar,Mbuni ni timu ya kijiji huko Monduli
Sawa. Tunashukuru kwa taarifa. Na vipi kuhusu matokeo ya simba na Kipanga fc, yalikuwaje?
Mechi ya kirafiki imemalizika kwa matokeo hayo.
Timu ya Mbuni FC inatoka Arusha ambapo mchezo huu umetumika kama mchezo wa kujiimarisha na kujiandaa na mchezo wa CAF dhidi ya Al Hilal. Yanga iliingia na kikosi cha kwanza huku magoli yakifungwa na Mayele na Feitoto.
Ni hayo tu.
Umenena vyema kabisa.Ila wakuu, tukiacha ushabiki maandazi, kutegemea timu nyingine ije imfunge Yanga ndo tufurahi wakati sisi hao Yanga tumewashindwa naona sio sawa
Kwani hapa tunazungumzia niniIla wakuu, tukiacha ushabiki maandazi, kutegemea timu nyingine ije imfunge Yanga ndo tufurahi wakati sisi hao Yanga tumewashindwa naona sio sawa