OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mechi ya kirafiki imemalizika kwa matokeo hayo.
Timu ya Mbuni FC inatoka Arusha ambapo mchezo huu umetumika kama mchezo wa kujiimarisha na kujiandaa na mchezo wa CAF dhidi ya Al Hilal. Yanga iliingia na kikosi cha kwanza huku magoli yakifungwa na Mayele na Feitoto.
Ni hayo tu.
Timu ya Mbuni FC inatoka Arusha ambapo mchezo huu umetumika kama mchezo wa kujiimarisha na kujiandaa na mchezo wa CAF dhidi ya Al Hilal. Yanga iliingia na kikosi cha kwanza huku magoli yakifungwa na Mayele na Feitoto.
Ni hayo tu.