ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kila mtu afanye yake, nyie si mlikua Egypt wasi wasi wa nini?Hawa jamaa hawaachi hii tabia yao ya kucheza na watoto wakijiandaa na mechi za mashindano za kimataifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu afanye yake, nyie si mlikua Egypt wasi wasi wa nini?Hawa jamaa hawaachi hii tabia yao ya kucheza na watoto wakijiandaa na mechi za mashindano za kimataifa.
Nyie mnaojiandaa na timu kubwa mmewazidi nini hao wanaojiandaa na watoto ebu tueleze tupate kuelewaHawa jamaa hawaachi hii tabia yao ya kucheza na watoto wakijiandaa na mechi za mashindano za kimataifa.
Azam FC si hao hapo walikua Zambia juzi wamecheza na TP Mazembe kiko wapi?Hawa jamaa hawaachi hii tabia yao ya kucheza na watoto wakijiandaa na mechi za mashindano za kimataifa.
tutaelewana taratibuKila mtu afanye yake, nyie si mlikua Egypt wasi wasi wa nini?
Endeleeni tu kumpima Aziz k Kwa mbuni, muone kama mtagundua madhaifu yake Kwa kucheza na mbuniNyie mnaojiandaa na timu kubwa mmewazidi nini hao wanaojiandaa na watoto ebu tueleze tupate kuelewa
We boya kweli hivi hujawahi kuona timu kama Chelsea na Liverpool zikifungwa na kutolewa kwenye kombe la Carabao na timu za daraja la kwanza! Na zinachukua UEFAHii ndio timu ya kuifunga Al Hilal nyumbani?
Mbuni ni timu ya kijijiDuh! Yanga inajipima kwa mbuni Fc