tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
Woyowoyo...Hawa wasanii ni wajinga Sana. Niliwaambia walete ngoma za kienyeji kuliko Hawa wabana pua hawana kipya zaidi ya mikono juu ,kulia kushoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Woyowoyo...Hawa wasanii ni wajinga Sana. Niliwaambia walete ngoma za kienyeji kuliko Hawa wabana pua hawana kipya zaidi ya mikono juu ,kulia kushoto
Yan inapatikana moja tu na yenyewe iko busy0764700222, 0784108000 or 022 550 8080.
Saa 2 usikuGame sangap
Mfano amshapopo hayupo tena bando limektaaaaKabisa upo sahihi mwingine mpaka bando akope
Jana nilikoma Hawa wapuuzi sanaYan inapatikana moja tu na yenyewe iko busy
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Woyowoyo...
😂😂😁😁😁😁😁😁😁 Kabisa hamna kazi huyoMfano amshapopo hayupo tena bando limektaaaa
Mbna mda sana .Saa 2 usiku
Ngoja tumfanyie mpango wa mvinyo kidogo😂😂😁😁😁😁😁😁😁 Kabisa hamna kazi huyo
Aje pm yangu ipo wazi nimpatie bando la bukuNgoja tumfanyie mpango wa mvinyo kidogo
Huna majiiiiiii wewe pumzika kijanaephen_ atashuhudia yote
amshapopo changaamka sasa kijanaAje pm yangu ipo wazi nimpatie bando la buku
Amshapopo hunijui 🥳😂😂Wewe nani?🤔
Hilo linategemea aina ya watu.Jana kwenye burudani waliweza kupangilia vizuri na hata Dj alikuwa powa hapa naona Fujo tuu