Msenge sana wewe umefuata nini huku.Asubuhi mpaka jioni ni simba na yanga
Taifa limejaa matahira hili. Hoi energy mnayoweka kufatilia mamipira ya bongo mngeweka kwenye kufanya Innovations na ku movies civic engagements tungekuwa mbali sana.
Game ni Saa 2:30 UsikuSaa 12 na nusu sasa hakuna dalili ya kutambulisha wachezaji[emoji1787][emoji1787]
Game ni Saa 2:30 UsikuSaa 12 na nusu sasa hakuna dalili ya kutambulisha wachezaji[emoji1787][emoji1787]
Yupo leo uwanjani anaambiwa mikono juu huku anakata mauno tu.Hahahahaha!! Shadeeya ya kweli haya kwa Nini utufiche muda wote ?
Acha wivu dogo.😀😃😄😁Nguvu ya supu ya kibudu inaonekana hapa
Harmonize kumbe ni mbilikimo hivi aloo kweli yanga ni sagula sagulaHarmonize in the building☺️☺️
Pongezi zaidi ziende kwa Dj, kachangamsha uwanja kuliko hata wasaniiZitoke wapi uliona picha kama izo kwenye uzi wao? 🤣🤣🤣
Apo na mimi nimechanganikiwaKuna wanaume wanaimba "siji" my people tuache hizi mambo
Mi nimewapisha kwanza, ntarudi wakianza kufanya mambo ya maana maana hapa sielewi kituTamasha la mziki sio mpira tenaView attachment 3061579
Imelewa supu ya kibuduHii mianaume inayoitikia wimbo wa Zuchu sijiiiiiii. Sijiiiiiii imeleft? Yanga aisee
Ingekua haramu asingehudhuriaNgoja awape mahubiri baba mchungaji.
Utasikia "mpira haram"
"Betting haram"
Haleluyyaaah