Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Makamu wa Rais wa TFFUmeanza utambulisho wa wageni rasmi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamu wa Rais wa TFFUmeanza utambulisho wa wageni rasmi
GSMUmeanza utambulisho wa wageni rasmi
He is a scambagYeye anataka ajitofautishe na wengine.!
Dr huyo ni mshkaji wangu napenda nimtanie anitukane niridhike😂Mnavyojibizana na huyo Dr wako hapo juu.
Hivi vitu ndio vinafanya tuwe na msanii mmoja tu wa kimataifaUyu jamaa kala ule mzigo wake umemchoosha ndo akaja staging
jamaa kazinguaHivi vitu ndio vinafanya tuwe na msanii mmoja tu wa kimataifa
Basi nyinyi mtakuwa ni Waarabu 👳🧕 wa Pemba.Dr huyo ni mshkaji wangu napenda nimtanie anitukane niridhike😂
Yapo yanapiga kelele2 badala yafanye mambo fasterHakiamungu yani mtu ambaye hakuangalia tamasha la jana ukimuambia kuwa hiki kinachofanywa na Kitenge, Manara, Mke wake, Na huyo kibonge (jina sjamjua) kilifanywa na mtu mmoja
Na zoezi hilo lilikamilishwa chini ya muda mfupi na kwa majira kama haya tayari tulikuwa tuko ukingoni kumaliza kipindi cha kwanza.
Mtu huyo anaweza asiamini.
Hapo ndio utaelewa ule usemi wa panya wengi hawachimbi shimo
Itachezwa tu ata kwa kuchelewa nusu saa hakuna shida,wenye nchi,Wala nchi na wanachi wote wapo uwanjaniHivi mechi inachezwa saa ngapi?
Nzi wa kijani hawajawahi kuwa na akili ndugu yanguHakiamungu yani mtu ambaye hakuangalia tamasha la jana ukimuambia kuwa hiki kinachofanywa na Kitenge, Manara, Mke wake, Na huyo kibonge (jina sjamjua) kilifanywa na mtu mmoja
Na zoezi hilo lilikamilishwa chini ya muda mfupi na kwa majira kama haya tayari tulikuwa tuko ukingoni kumaliza kipindi cha kwanza.
Mtu huyo anaweza asiamini.
Hapo ndio utaelewa ule usemi wa panya wengi hawachimbi shimo