Kipi kigeni hapo?Kumbe Bacca mstaafu?
Manara anaropoka.
si ndio yule zeru zeru au?Afisa Habari yupo?.
AhahahhahahaTupo mubasharaView attachment 3061632
Ali Kamwe.si ndio yule zeru zeru au?
Mbona mnateseka asewananchi wamenuna
Supu imewacost sana leo
Tuko LIVE
Hawa vyura wanaanza saa ngapiSasa ni zamu Wananchi Yanga kuonyesha visu vyao. Jumapili hii Agosti 4 katika dimba la Benjamin Mkapa itakuwa ni kilele ya Wiki ya Mwananchi utambulisho wa wachezaji wa msimu wa 2024/2025 kufanyika.
Utambulisho huo utakamilishwa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya mabingwa wa Kagame Cup, Red Arrows kutoka Zambia
Au red Arrows hawajaja?ππMechi saa ngapi?