USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Yeah uko sahihi mpango ni yanga ndio maana yupo cool sanaKwani ni siri? Mbona bungeni walikuwa wanachomekea kwenye hotuba zao, wakati huo akiwa Waziri, Ndugai akaipongeza Simba, Mpango akaipongeza Yanga kwenye hotuba ya bajeti.
USSR