Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatupigia makeleleSasa tujiunge na wenzetu waliopo kizimkazi, kukuletea matangazo ya moja kwa moja🤣🤣
Utoto mwingi siyo poa...Wewe acha tu! Nimeeka zangu tamthilia😂
Hizi timu zote mbili ni mradi wa CCM kuwapumbaza watanzania wasiwehoji mambo ya maana kutwa kucha ni kuchambana tu Yanga na Simba. Wtw ni pipa na mfuniko wake.Simba isingekuwa tawi la CCM msingemchukuwa Waziri wa mambo ya Ndani Mh. Masauni kuwa Mgeni Rasmi
Na Mashabiki na Viongozi wa Simba ndio waliomsifia sana Mama Samia jana ambaye ni Mwenyekiti wa CCM TAIFA
Akimaliza huyo mumpigie na Magoma awa blessAmiri Jeshi mkuu anaongea
Unaacha kushabikia simba??Azam kuweni wakubwa tuhamie huko.
This is too childish.
Polishits
😀😀😂😂😂😂😁😃😃😃😃Bi mkubwa anatumia TECNO
siasa ni maisha nduguHizi tamasha zishageuzwa za Kisiasa sasa.
Atakuwa anafanya hivyo kulinda uchumiBi mkubwa anatumia TECNO