GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wakishamaliza huo Ujinga wao unaouona hapo itaanza mara moja. Kuwa na Subira Mkuu.Mechi saa ngapi?
MBINU ya utopolo ya kuwaboa wapinzani wao na kuwatoa mchezoni!Mechi saa ngapi?
Hadi kila chawa ajitambulishe kwa kuongeaMechi saa ngapi?
Nyuma Kuna mwikoKlabu bingwa barani Afrika.
💚💛
Watu wa mlandizi kazi kwenu!Watu wa daslam usafiri ulivyo wa shida leo mtakoma
Aaaaah shukran sana ... Ngoja nimsubrLabella ndio mtaalamu wa hayo mambo
Hapa umegonga penyewe “ to sum it up”Hii ndiyo waswahili wanasema kuchamba kwingi ..............................
kikund kimejaza viwanja viwili we huogopiTamasha la kikuda hili
Wa mlandizi kwetu tunaangalizia banda umizaWatu wa mlandizi kazi kwenu!
KalewaManara kashaanza uzuzu wake