Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Maana yake?Ubaya ubwela
Ubaya ubaya.....Maana yake?
wakuwekee nyuma za LiverpoolModerators nielekezeni namna ya ku mute baadhi ya content ambazo sitaki kuziona kwenye account yangu, Mfano content za mamipira ya bongo simba na yanga sitaki kuyaona kwenye timeline yangu nielekeze namna ya ku mute hizi takataka.
Ubaya Umeanza....Maana yake?
Hata mwenyewe niliuliza swali hilo beforeMbona ALI KAMWE haonekani? Au mzungu wa buza kasha mkorofisha?
Hapo unapomuuliza mtu maana ya maanaMaana yake?
Kwa hiyo tuwaishe mechi kwasababu ya ndaunda?