Leo ametumia nguvu nyingi sana kujionyesha anakubalika na uongozi na tajiri gsm hadi akavunja protokali makamu wa rais akashuka bila kuitwa wakati Diarra anatambulishwa.who is protecting him hapo yanga sijui nini
Ama zetu ama zenu msimu huuMaana yake?
Ebu lala kama wazee wenzakoHuko kwenu mpira umeanza?
kitufeeeeeeeeeeeeeeeeEbu lala kama wazee wenzako
kwanini kiongozi?Hii ni aibu
Wewe dogo tulia.Ebu lala kama wazee wenzako
Wajukuu zako wataenjoy sanaWewe dogo tulia.
Nikiuliza watu timamu,mwehu usidakie..
Bado haijaanza.wameenda kuvaa nguoMechi ianze saa tatu iishe saa Tano, that's bullshit
Unaangalia TV gani?Timu zinaingia uwanjani kuanza kabumbu
Sio Manara?Harmonize ndio ameharibu kugoma kuondoka jukwaani
Yupo Bize uwanja wa uhuru, kwenye screen kubwa baada ya uwanja wa Mkapa kujaaHata mwenyewe niliuliza swali hilo before
Huoni??Unaangalia TV gani?