FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

who is protecting him hapo yanga sijui nini
Leo ametumia nguvu nyingi sana kujionyesha anakubalika na uongozi na tajiri gsm hadi akavunja protokali makamu wa rais akashuka bila kuitwa wakati Diarra anatambulishwa.

Alitaka kumfunika mgeni rasmi kujipendekeza. Utadhani alichomekwa dakika za mwisho.

Kaazi kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…