Walisogeza muda mbele?Saa 2 kamili usiku
Hapa azam ndio wameandika hivyo mechi saa 2 hadi saa 4 usikuWalisogeza muda mbele?
Ni kweli kabisa mfano ni wewe hapo na Bantu LadyYanga ina pisi kali bhanaaa
Mda wa kufurahiSaa 2 kamili usiku
Nina uhakika hata maana ya ‘fungulia mmbwa’ hauifahamuFungulia Mbwaa mapemaa..kama uwanjan ulikuwa umejaa kabla kwa sold out..Hawa wanaenda kukaa wapiView attachment 3061330
Asante mkuu☺️Ni kweli kabisa mfano ni wewe hapo na Bantu Lady
Kuna mmoja kanichekesha sanaKwa vitambi hivo mtu akidondoka itamchukua dakika 2 kuamka
Anajua boliMlela anajikuta Azizi ki