Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Baadae ataweka mambo sawa mkuuHuyu dj wa yanga dah! Anaua vibe. Anyway ngoja nione itakuaje as the time goes by.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadae ataweka mambo sawa mkuuHuyu dj wa yanga dah! Anaua vibe. Anyway ngoja nione itakuaje as the time goes by.
😂😁😁😁Nyie jamaa 😁🤣Fungulia mbwa lazima ili na wao waweze ku “claim full house”😀
Leo naona hata Azam wanatangaza kutokea studio maana hakuna cha maana uwanjani.Huyu dj wa yanga dah! Anaua vibe. Anyway ngoja nione itakuaje as the time goes by.
Yule wa mawingu ?Mzee Tupatupa yupo pia benchi la ufundi upande wa wasanii
#Nyie Hamuogopi?
😁😁🤣🤣🤣Vibaka day
😁😂😁😁😁Utopolo day 🐸 🐸
Naogopa Sana, naona kama vile Yanga watafungwaKila la kheri chama langu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara 💚💚💚💚💚💚 hii ndio disko ya wakubwa watoto wadogo wamemaliza ya kwao furaha Yao itadumu siku tano💚💚💚💚 Cc ephen_ View attachment 3060846
Utopolo day 🐸 🐸
Nyie hamuogopi?Vibaka day
Mechi saa ngapHawa watu hawajui wasanii gani wa kuwachanganya kwenye timu ili kufurahisha. Maana hapa hatuangalii vipaji Wala magoli. Akina Mr. Pimbi, yule mdudu wa Arusha aitwaye kenyunyu wangeinekana uwanjani tungeburudika
Mechi saa ngapNyie hamuogopi?
Hatufungwi hiii kaka hii nashinda 3Naogopa Sana, naona kama vile Yanga watafungwa
Sijui naona mabonanza tuuMechi saa ngap
Official game ni saa moja kwa sasa ni burudani kutoka kwa wasanii na viongozi wa YangaMechi saa ngap
Wafungwe tu ....Naogopa Sana, naona kama vile Yanga watafungwa
Kama mda wa jana waliocheza ndugu zetu makoloMechi saa ngap
Saa 2 kamili usikuOfficial game ni saa moja kwa sasa ni burudani kutoka kwa wasanii na viongozi wa Yanga