The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Tamasha limedoda sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heheheee! Umesahau mambo ya bure yanavyowapeleka yanga saa moja asubuhi pale kwa mkapaWatu wana ishughulu zao za kufanya, mtu tokea asubuhi kaenda kuparamia uwanja na kuvunja mageti si ukosefu wa shughuli za kufanya? Subiri watu wamalize kazi zao utaona uwanja utajaa. Mechi ni saa moja, na kwenye hizo events kuna watu wanafuata mechi pekee, wapo wanaofuata muziki pekee na wapo wanaofuata vyote kwa pamoja. Jana tumeona ni jinsi gani mashabiki wa Simba hawana kazi za kufanya.
Lini uwanja ulijaa saa nne hata kama ni bure?Heheheee! Umesahau mambo ya bure yanavyowapeleka yanga saa moja asubuhi pale kwa mkapa
Mnachoweza kujaza ni bakuli la supu tuHakuna kitu duniani najivunia kama kua Shabiki wa YANGA....
WANANCHIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
[emoji172][emoji169]
Utajiri wa jirani huwezi kuufurahia.Vipi jamani hili tamasha dodevu
Wivu unaodidimiza soka letuMnachoweza kujaza ni bakuli la supu tu
Kipi kinachothibitisha kuwa hao wameingia bure?Fungulia Mbwaa mapemaa..kama uwanjan ulikuwa umejaa kabla kwa sold out..Hawa wanaenda kukaa wapiView attachment 3061330
Sikushangai kwa sababu huko wenye akili wako wawili tu..utaratibu wa kuingia uwanjani unafahamika lazima ukaguliwe tiketi..je hapo umeona?Kipi kinachothibitisha kuwa hao wameingia bure?
Uzi pia umedoda sanaaaUtajiri wa jirani huwezi kuufurahia.