FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

Watu wana ishughulu zao za kufanya, mtu tokea asubuhi kaenda kuparamia uwanja na kuvunja mageti si ukosefu wa shughuli za kufanya? Subiri watu wamalize kazi zao utaona uwanja utajaa. Mechi ni saa moja, na kwenye hizo events kuna watu wanafuata mechi pekee, wapo wanaofuata muziki pekee na wapo wanaofuata vyote kwa pamoja. Jana tumeona ni jinsi gani mashabiki wa Simba hawana kazi za kufanya.
Heheheee! Umesahau mambo ya bure yanavyowapeleka yanga saa moja asubuhi pale kwa mkapa
 
Timu yangu pendwa sana leo inaenda kumkamia mtu migoli kedekede

#Kila la kheri Dar Young African#
#Full House#
#[emoji1665][emoji169][emoji172]#
 
Fungulia Mbwaa mapemaa..kama uwanjan ulikuwa umejaa kabla kwa sold out..Hawa wanaenda kukaa wapi
 
Aliyebuni haya majezi mweusi na meupe aina ya ( KUNGURU) Mungu anamwona. Wamechafua brand ya timu kabisa. Ukianhalia kwenye majukwaa yamechafua
 
Kipi kinachothibitisha kuwa hao wameingia bure?
Sikushangai kwa sababu huko wenye akili wako wawili tu..utaratibu wa kuingia uwanjani unafahamika lazima ukaguliwe tiketi..je hapo umeona?
 
Mtu unaenda kunywa supu hata hujui maandalizi yake labda mtu kuchanganya na maji ya kuchambia.
Mkiwa jukwaani mnapiga kelele zenu mwenzenu anawachora tu.
 
Back
Top Bottom