Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nimewaona baba nimewaona si ndio nyie hawa ๐๐๐Anyway ๐ jana umeona moto wetu, vikelele mmepunguza sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewaona baba nimewaona si ndio nyie hawa ๐๐๐Anyway ๐ jana umeona moto wetu, vikelele mmepunguza sasa.
Sisi majogoo nyie mitetea.
Inabidi tupeleke official malalamiko ofisi za jamiiforums ๐นNyuzi za Yanga zikianzishwa na mleta mada huwa zinaishia pabaya. Hivi wewe jamaa kwani lazima kuanzisha nyuzi za Yanga mfyuuuuu zako unaboa
Oooohhhh oohhh wanga wabayaaa๐ช๐ช๐บEvelyn Salt umeona eeh!! ๐คฃ๐คฃ
Umemuonea mkuu, huyu katika nyuzi alizoanzisha Yanga hakufungwa.Nyuzi za Yanga zikianzishwa na mleta mada huwa zinaishia pabaya. Hivi wewe jamaa kwani lazima kuanzisha nyuzi za Yanga mfyuuuuu zako unaboa
Ephen Mimi ndo mwanaume wali Wa kweli .Njoo tuenjoy Sikh ya kilele cha wananchiSimba day iliboa sana. Kitu pekee kilichovjtia ni labda wameujaza uwanja... tamasha halikua colourful, lilikua linaboa... tamasha zuri la simba day ni la mwaka 2020 wakati babra yupo. Tamasha lilikua kama ufunguzi wa Afl au olimpik. Kulikua na mambo mazuri mengi, sarakasj, halaiki ya watoto, muziki etc.. yaani hata watoto waljoenda waliinjoi sana... mie simba ila naamini tamasha la leo litakua kubwa zaidi na lenye mambo mengi. Ja a sumba ilikua ni bora liende tu, wakaleta wanamuziki na kjpiga kelele baaasi...
Mkiiifunga Mishale Myekundu zaidi ya goli 2 au 3 mtanikuta hapa hapa mnijulisheDima Yanga
Dima Wananchi
Simba na red arrow ipi timu kubwa?Mkiiifunga Mishale Myekundu zaidi ya goli 2 au 3 mtanikuta hapa hapa mnijulishe
Nayule mdogo zaidi 14Simba wenzetu muna vijana wadogo sana fikiria Mohamed husein miaka 20,kapombe 23,che malone 19,mzamiru 17
Umemuonea mkuu, huyu katika nyuzi alizoanzisha Yanga hakufungwa.
Yanga kwasasa ni moja ya timu kubwa Africa Red arrows ni timmu ya jeshi,kwa kujibu swali laka yanga ni timu kubwa kuliko red arrows, hawa red arrows ndiyo mabingwa kule Zambia km ilivyo yanga scSimba na red arrow ipi timu kubwa?
Watu wana ishughulu zao za kufanya, mtu tokea asubuhi kaenda kuparamia uwanja na kuvunja mageti si ukosefu wa shughuli za kufanya? Subiri watu wamalize kazi zao utaona uwanja utajaa. Mechi ni saa moja, na kwenye hizo events kuna watu wanafuata mechi pekee, wapo wanaofuata muziki pekee na wapo wanaofuata vyote kwa pamoja. Jana tumeona ni jinsi gani mashabiki wa Simba hawana kazi za kufanya.saa nane hii uwanjani akuna watu,mashabiki wa Uto wanasubiri fungulia mbwa.[emoji3]