Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wewe ni wa kukaa mzunguko kweli?Nipo mzunguko
Acha maneno mengi! Ukiona jezi imeandika ephen nyuma njooYaani wewe ni wa kukaa mzunguko kweli?
Huyo bae wako hafai kukumiliki
Wewe hauogopi?
Siwezi kuja mzunguko huko ni kwa waliofulia tu 😁Acha maneno mengi! Ukiona jezi imeandika ephen nyuma njoo
Wewe hauogopi? Mohamed husein kijana kabaki simba ila mzee peter banda kaondokaSiku ya wazee
Basi hatutoonana, nyie watu wa VIP hamtakagi fujoSiwezi kuja mzunguko huko ni kwa waliofulia tu 😁
Jua la saa 4 hili waanikeni wazee juani waoteWewe hauogopi? Mohamed husein kijana kabaki simba ila mzee peter banda kaondoka
Labda tutaonana kwa ile mechi ya kuwachinja mikia nane nane.Basi hatutoonana, nyie watu wa VIP hamtakagi fujo
Hata hiyo nitakaa mzungukoLabda tutaonana kwa ile mechi ya kuwachinja mikia nane nane.
Simba wenzetu muna vijana wadogo sana fikiria Mohamed husein miaka 20,kapombe 23,che malone 19,mzamiru 17Jua la saa 4 hili waanikeni wazee juani waote
Unapapendea nini hapo mzunguko?Hata hiyo nitakaa mzunguko
Wazee wanakunywa alikasusu na mchuzi wa pweza kwa ajili ya my wetu tarehe nane.Jua la saa 4 hili waanikeni wazee juani waote
Bei cheeUnapapendea nini hapo mzunguko?
Nitakutumia ticket ya VIP A ushuhudie mechi ya Nana nane ukiwa umeketi kwa wastaarabu.Bei chee
Ushaambiwa sendoff imeisha jana, leo kiumeni.Mbona mnajichagulia team mbovu mbovu... Simba jana kajitwalia kilema, leo tena kiwete
Hata sasa nipo kwenye mada 😂Jikite kwenye mada
'Siku ya Wananchi 2024: Yanga vs Red Arrows | Mkapa Stadium | 04/08/2024'