Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wageni gani wanakua serious hivyo.Hawa red arrows hawaalikwi tena😂😂
Si lazima uzodolewe na Simba, nafsi yako tu itakuzodoaMashabiki wa simba na nyie hebu tulieni mna timu gani ya maana mpaka muizodoe Yanga
kwahio mnafurahia mbereko?Mashabiki wa simba na nyie hebu tulieni mna timu gani ya maana mpaka muizodoe Yanga
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Mna timu ya media tu uwanjani 0.Ikifika tar 8 mumwambie huyo refa atakayechezesha aingilie kati pia
Unijie na betri radio inazima.Kuna keleleee nipo kibanda umiza, ntakupigiaaaaaaa
SawaYanga timu kali kali sanaaaa, tuache ushabiki wa kijinga, Yanga ni zaidi ya hatari, hiyo tar 8/8 Simba watafungwa mengi sana
uhatari wambereko?Yanga timu kali kali sanaaaa, tuache ushabiki wa kijinga, Yanga ni zaidi ya hatari, hiyo tar 8/8 Simba watafungwa mengi sana
Kwa mpira huu wa yanga tarehe 8 msilete timu uwanjanBila msaada wa refa hawatoboi hawa wajomba
Chenji nmenunua fegi sina kitu... Lala tu ntakusimulia yaliyojiri kwenye redioUnijie na betri radio inazima.
Mpira auko kama unavyofikir subir mpira uchezwe ndio usemeYanga timu kali kali sanaaaa, tuache ushabiki wa kijinga, Yanga ni zaidi ya hatari, hiyo tar 8/8 Simba watafungwa mengi sana
Ni CUF ya Lipumba😄Hiki ki mkangafu ndio mnasema mnaenda kuchukua kombe la CAF
Hapana semeni tu na nyie timu yenu ile timu?? Jisemeeni tuSi lazima uzodolewe na Simba, nafsi yako tu itakuzodoa