Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Umelegea?K
KUmbe na wewe umeona🤔
Yaani Yanga ina pisiiii mimi nimedata
Call the rescue unit.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umelegea?K
KUmbe na wewe umeona🤔
Yaani Yanga ina pisiiii mimi nimedata
Usinifatefate..!Umelegea?
Call the rescue unit.
😂😂😂 Macho hayaon hmna pic mumzidin@Nyamwi255Camera man wa leo anatupeleka kwenye pisi kalii tu 😂😂
Hujafatwa.Usinifatefate..!
Kirungu gani Tate!?..isije kuwa unajichukulia sheria mkononi,unakwea mnazi kwa mkono mmojaHili vibe ni noma!! Dah! Bahati mbaya Boss amenikatalia ruhusa! Naingia lindo saa 12 hii!! ephen_ mwakani uniombee nipate ruhusa hapa ofisini. 😡
Muda huu nimebeba kirungu changu, huku nikiwa nina hasira kali balaa. 😩
Tatizo la wazee ndo hili! Unataka nikujibu vibaya ili unipe laana na mimi nimeshtukiaHujafatwa.
.
Sasa mtu umedata, unaelekea uwendawazimu. Mimi nimeomba upige idara ya Uokozi.
Duh!.Tatizo la wazee ndo hili! Unataka nikujibu vibaya ili unipe laana na mimi nimeshtukia
ephen_ hii chalii kwanini unaichekea chekea. Unaona inavyokejeli ukweni?Ukiangalia hawa mashabiki wa yanga unaweza ukafikiri ni shamba la alzeti. View attachment 3061524
Leo ni pisi tu, Jana ilkua mikurumbembe.Camera man wa leo anatupeleka kwenye pisi kalii tu 😂😂
Hapa umenifurahisha sasa. Anatuletea mambo ya chuga. Muhimu kumbaraza tuHuyo nishamrudisha na barua yake! Kwanza uliniambia humtaki na mimi nikampiga chini