EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
huo mzigo sio wake yupo kama gereshaAziz kaamua kuangalia nyash kama ipo kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huo mzigo sio wake yupo kama gereshaAziz kaamua kuangalia nyash kama ipo kweli
50 years kweli hata wahuni wanazeekaManara mdomo wake haujuagi kuwa na breki ana ujinga na upumbavu mno halafu ni jitu zima hata akili hana.
Anayelipia dansi ndiye anayechagua wimbo. Mdhamini ndiye anayemtaka (kwa sababu anazojua mwenyewe, usihoji sana maana nyingine ni za kiroho)who is protecting him hapo yanga sijui nini
Hata kama sio wake sifdhani kama ataondoka bila kuuonjahuo mzigo sio wake yupo kama geresha
Ulishasoma Kitabu cha Muwa uliozamisha meli?Kabisaa
Namuunga mkono jamaa aliyeandika hapo juu. Aliyekaribu na Manara ampige makofi kwa niaba yetuMnaleta mapenzi kwenye vitu serious?
Hivi mnashindwa kuwaheshimu hao watu 60k hapo?
Mkuu haya si ndio mambo yako mambo ya churaHamisa kaenda jukwaani k
Hii ni maana halisi ya wananchi 💚Yanga imevunja rekodi kabisaaaa, kweli hii timu yetu ya wananchi kabisaa
Sasa Bacca ni none of the above.Yupo sahihi. Kustaafu( retirement) kazi kupo kwa aina Tatu
🔹Kufukuzwa
🔹Kuacha kwa hiari
🔹Kutimiza umri wa kisheria ( uzee)
🔹Kufariki
Kaharibu shughuli yote nmemtukana sana mpumbavu huyuHakuna Mtu Karibu hapo atusaidie kumtwanga mkofi mzito Manara...
Hakuna utaratibu huoSasa Bacca ni none of the above.
Bacca yupo likizo isiyo na malipo.
Akitoka Yanga anarudi jeshini.
Bacca hajastaafu.
Wala hakuna aibu hayo ndio mambo sisiem wanapenda!! Haji Manara, Aziz Ki na Hamisa wazungumzwe wiki nzima huko InstaDa sasa kama mama anatazama sinivitu vya aibu mapenzi na mpira wapi na wapibyani ujinga mwingi
Ujachoka hapo uwanjani?🤔Nilikuwa nashangilia shosti.
Niko uwanjani hapa, full hekaheka....yaani sahv ndo nashika simu.
We huogopi?