Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekua nyepesi baada ya jamaa kuwa pungufu😅Game nyepesi hii
Unafikiri kuna maajabu yoyote unayetegemea kutoka kwa uto?Kwani game imeisha?
jiandaen n nyie tutawanunua kama wa5 ivi tuwachape kumi ili akili ziwakae sawaKupindi cha kwanza refa kawanyima tuta Rick Rose,kipindi cha pili kaona isiwe taabu kawapunguza idadi.
Kipindi cha kwanza tumemaliza na position ya 60+ bado attempts zaidi ya 12. Bado tumebebwa?Imekua nyepesi baada ya jamaa kuwa pungufu😅
Apewe kandarasi mpya, tuna imani naeHuyu Musonda dirisha dogo mkataba wake unaisha inabidi ampishe mtu ikishafika dirisha dogo.
Mi nilijuaga harudi nashangaa wamemrudishaHuyu Musonda dirisha dogo mkataba wake unaisha inabidi ampishe mtu ikishafika dirisha dogo.
Ratiba imechelewa kuanzia shows hadi mechi, kwa hiyo naye refa awe mvumilivuPesa Ya refa Mumlipe kwa Wakati sasa Sio Mumkope
Tusubirie tar 8 tuone maajabuUnafikiri kuna maajabu yoyote unayetegemea kutoka kwa uto?
Ahahaha sawa ila ile timu yakujisifia kwamba mliwashinda kwa mpira uleWenzenu jana tulishinda