min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ushalewa meku ,huyo kipa hatuuzi.🤣🤣🤣🤣
Diara akipata changamoto za kifamilia yy atakua golini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushalewa meku ,huyo kipa hatuuzi.🤣🤣🤣🤣
Diara akipata changamoto za kifamilia yy atakua golini
Red arrows Wana wachezaji very sharp na wanajituma sanaaaWewe kitulize
Wee hamnaYani kwa redio yanga bigwa ,wanaubonda mwingi🥲🥲
Pande zote. Yanga imeteka anga😄Haha kelele kutokea sebuleni au uwanjanu
Soon unaisha, dk ya 83 sahivi.
amepigwa an arrowMdaka mishale si yupo mangi?
Raha ya mpira kelele. Kuna hali fulani hata ukiwa peke yako huwezi kuangalia kimya kimyaPande zote. Yanga imeteka anga😄
Sawa ila unatakiwa kuwa mzalendoRed arrows Wana wachezaji very sharp na wanajituma sanaaa
😆😆😆amepigwa an arrow
Habari njema hiyoWee hamna
Huyu golikipa Chaz mchaga anadaka na kuchomoa mengi tu
Hawezi kua active msimu mzima, huyu akishasign tutakua tunamchezesha game ndogo ndogo ambazo hazina pressure kama Simba, pamba, mashujaaa na alliance, mid table team kama coastal na namungo atacheza mshery, tukicheza na giant mwenzetu(Azam) bas diara goliniMdaka mishale si yupo mangi?
Tunaogopa Kuona Yanga Inafungwa na inanunua Marefa wawachape kadi nyekundu wachezaji ili wasawazisheDuh Nyie hamuogopi
🤣🤣🤣 jidanganye na hao wababu wenye vibara wa mwaka wa 47Hawezi kua active msimu mzima, huyu akishasign tutakua tunamchezesha game ndogo ndogo ambazo hazina pressure kama Simba, pamba, mashujaaa na alliance, mid table team kama coastal na namungo atacheza mshery, tukicheza na giant mwenzetu(Azam) bas diara golini
Kuna namna humjui Eng Hersi subir uone!Ushalewa meku ,huyo kipa hatuuzi.