Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
0-0 dk ya 15Acheni Bangi zenu aiseee, hebu nipeni updates basi, Hadi niwapigie magoti? Dah
Katolewa sababu ya ujuaji wakujiangusha nikama alikua anapoteza muda na kocha anaona mechi anaitakaHii yq inonga imekaaje? Mbona hakuumizwa Serious au ndio maagizo ya wakuu wa giza wa leo?
Kuelekea 5G
tayari na inonga kaishia njianiNilisema Leo Joyce Monalisa lazima Asicheze Mpaka Mwisho bado wengine sasa
Haya mambo ndio juu ya Bati unakua na Madish Matatu, utafikiri wewe ndio kituo cha Kurushia Matangazo, maana ili uangalie Hii Mechi ni Sharti uwe na King'amuzi cha AzamTBC hawana haki za matangazo ya TV kwa ligi kuu, wana haki kwenye matangazo ya redio tu...
analiwa leoMnyamaaaa.
Haina Tatizotayari na inonga kaishia njiani
Huyo ana mgomo binafsi body gestures zake zinaonyesha sio mwenzenuHii yq inonga imekaaje? Mbona hakuumizwa Serious au ndio maagizo ya wakuu wa giza wa leo?