Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Safari ya wapiMusishangae sana hata safari ile ilikuwa hivihivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safari ya wapiMusishangae sana hata safari ile ilikuwa hivihivi
Watu wagumu hata kutupa update za game, dah utadhani nimeomba "connection"Mbona shangwe sana banda umiza...kuna nini huko?
Kidogo tu
Lomalisa peleka nje
Tayari? Pole sana Ndugu yanguTANESCO Ubungo🙌🙌🙌🙌
Kitu puturu mdiso 24/7 Yanga leo wanabakwa.Simba wachunguzwe huwenda wamekula dawa za kusisimua misuli
Kuelekea 5GSafari ya wapi
Unasemaje wa hovyo wakati huna ushahidi kama kuna hiyo jam huko nje?Nasikia nje ya Uwanja mageti yamefungwa.
Kuna fujo sana.
Huku ndani ya Uwanja nafasi bado ni nyingi sana.
Kweupe kabisa.
TFF na Bodi ya Ligi utaratibu wakuingia Taifa leo umekuwa wa hovyo sana.
Yaani we acha Tuu, Nikakuta TBC wanafanya Uchambuzi, Tena wamesema Mubadhara, Si nikasema mambo si ndio hayo, Hee inakaribia Muda wa Mpira kuanza, Wanasema Tumefikia Ukingoni mwa Kipindi chetu. Nimechoka,Nimeshangazwa kuona channel moja tu ya azam ndio iliyo dhamana kuonyesha mechi hii. Yaani utadhani vingamuzi tumepewa bure
Simba walitaka kufunga mpaka sasa hivi moyo wangu unadunda
Nipo road natoka nduki hapa nipate penye pana jeneretaTayari? Pole sana Ndugu yangu
Tutawaua pimbi nyieSimba walitaka kufunga mpaka sasa hivi moyo wangu unadunda