FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

Nasikia nje ya Uwanja mageti yamefungwa.
Kuna fujo sana.

Huku ndani ya Uwanja nafasi bado ni nyingi sana.
Kweupe kabisa.

TFF na Bodi ya Ligi utaratibu wakuingia Taifa leo umekuwa wa hovyo sana.
 
Mashabiki wenyejiiii mmeshindwa kujaza uwanjaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Inashangaza na kusikitishaaa, woiiiiiiih
 
Homa ya Kariakoo Derby inazidi kupanda, siku ya kumaliza ubishi imewadia. Leo jioni kuanzia saa moja miamba hii itakutana kutafuta point tatu muhimu kuendeleza marathon za Ligi Kuu ya NBC.

Yanga akiwa mwenyeji anaingia akijiamini huku ana kumbukumbu nzuri ya mchezo wa mwisho aliomchapa mtani wake bado 5-1.

Je, unadhani nani ataibuka mbabe wa mbungi hii?

Kaa namni kwenye uzi huu kupata kila kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo.

Let's Goooooo!!

Mbungi linanukia wanangu...

View attachment 2969256
Kikosi cha Yanga kinachoanza

View attachment 2969261
Kikosi cha Simba kinachoanza

Nimeshangazwa kuona channel moja tu ya azam ndio iliyo dhamana kuonyesha mechi hii. Yaani utadhani vingamuzi tumepewa bure
 
Back
Top Bottom