Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au ndo uchawi wenyewe unaendelea?Naona kama Diarra ameumia hapa, wakiwa wanapasha
Ohooooo mambo yashaanza kunogaNaona kama Diarra ameumia hapa, wakiwa wanapasha
HatumuogopiLeo ndio ile siku mzigo wa matusi, lawama na kelele anaenda kuubeba mzeewa watu Mangungu, Don Miguel Gamondi amesema mkija kwa kulipa kisasi linaweza kuwakuta jambo ambalo hamtakaa msahau maisha yenu yote. 😂
Hakuna link ya kuangalia mechi hii online?Naona kama Diarra ameumia hapa, wakiwa wanapasha
Kuamini uchawi sijui naonaje aseeAu ndo uchawi wenyewe unaendelea?
UsimwaminiNaona kama Diarra ameumia hapa, wakiwa wanapasha
Uchawi upo bila kujalisha unaamini au laaKuamini uchawi sijui naonaje asee
Kulipa kisasi ni kushinda. Simba ikishinda imelipa kisasi, ikifungwa haijalipa kisasi, ikidroo haijalipa kisasi.Leo ndio ile siku mzigo wa matusi, lawama na kelele anaenda kuubeba mzeewa watu Mangungu, Don Miguel Gamondi amesema mkija kwa kulipa kisasi linaweza kuwakuta jambo ambalo hamtakaa msahau maisha yenu yote. 😂
Weee sema kweliNaona kama Diarra ameumia hapa, wakiwa wanapasha