FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

Tatizo la mpira wa Tanzania ni uchawi, utakuta mechi kama ya leo ina waganga hata 100, yaani 50 wa Yanga na 50 wa Simba.
 
Utopolo au Makolo mmojawapo lazima afe. Leo Makolo ndio hali mbaya
 
Naombeni link ya kuangalia mechi hii online
 
Vikosi vya timu zote mbili
 

Attachments

  • 20240420_163526.jpg
    20240420_163526.jpg
    128.3 KB · Views: 3
  • 20240420_163446.jpg
    20240420_163446.jpg
    673.2 KB · Views: 3
Back
Top Bottom