Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kwani simu si ina bando na chajiTanesco wanapenda kuuzi watu[emoji35]
Chunguza kila mara mchezaji wa Simba sc akiguswa kidogo tu refa anapuliza filimbi lakini kwa Yanga Sc ni hadi faulo iwe ya wazi sana ndio anaweka.Bado sijaona refa akimbeba simba
Nshakuwa chawa wako πZawadi atanipokelea chawa wangu Half american ukimpa inafika bila tatizo π€£π€£π€£
hawawafikii yanga,Tanesco wanapenda kuuzi watu[emoji35]
Acha uwongo. Kinyume chake ndo sahihi.Chunguza kila mara mchezaji wa Simba sc akiguswa kidogo tu refa anapuliza filimbi lakini kwa Yanga Sc ni hadi faulo iwe ya wazi sana ndio anaweka.
Yaani hapa mnabebwa? Kweli malalamiko ni tabia.Chunguza kila mara mchezaji wa Simba sc akiguswa kidogo tu refa anapuliza filimbi lakini kwa Yanga Sc ni hadi faulo iwe ya wazi sana ndio anaweka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunawapa muda mrudishe nguvu kwanza!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio kweliChunguza kila mara mchezaji wa Simba sc akiguswa kidogo tu refa anapuliza filimbi lakini kwa Yanga Sc ni hadi faulo iwe ya wazi sana ndio anaweka.
Si uwaambie demu wako anakujaInauma kwa kweli sema ndo hivyo tena tufanye nini. Kinachonikera zaidi majirani zangu ni Mautopolo mtupu halafu naona kama yamefanya makusudi kuja kuangalia mechi ghetton wakati mwenyewe nilikuwa naangalia tamthilia ya Jumongπ‘
Muda mrefu kwan hujijui??? Hiyo leo kuna mtu nimemwambia namtumia novena kupitia ww kisha umtumie.!! Weee asiniambie kwann usinitumie mwenyewe badala yake umtumie chawa wako πππππNshakuwa chawa wako π
Mkuu mishangazi nliyoikuta humu bar inaaangalia mpira aiseee Tz vijana tuna kaziWahi mwanangu, kuna kelele nyingi sana huko utadhani kuna MTU kafumaniwa na Mke wa mjumbe
Ni kama kiwango chake hakinaKibu inabidi atoke pale simba anapoteza muda tu
Jina lake linaanza na herufi S na linaishia na A.π€£π€£π€£ wa nani