Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Huyo ni Kenge hasikii hadi avuje damu. Hii ya leo 5 zilikuwepo ila hizi timu pia huwa zinalindana na kuheshimiama. Game imeisha, maisha yaendelee.Kwahiyo wewe mpaka upigwe 5 ndio usikie maumivu sio?
" Mzee babako"Mzee punguza munkari...
Maza faza zako, umekosa hela kisengeremaDuuh, kwa hio leo ningebet ningekula
" Mzee babako"
Alisikika shabiki wa simba aliepagawa.
Nakutania kakaπ
Wakati utafika. Kwa sasa kashughulikie bango la kuweka tangazo.Lini?
Ok boss, Sasa tutegemee Mo kuondolewa maana according to you hii mechi ndo ilikuwa inatumika either try again kutoka au Mo.We unafikiri akina Hersi nao wamelala?
Tatizo lilianzia hapo kwa misso misondo5 fc πππ€£πππView attachment 2968862View attachment 2968859
Simba kwisha habari yenu, vipigo vitaendelea kwa kipindi cha miaka 10.Wakati utafika. Kwa sasa kashughulikie bango la kuweka tangazo.
Imeisha hiyoo..Siku ya mbivu na mbichi kujulikana, mechi yenye siasa nyingi kuliko zote kuwahi kutokea nje ya uwanja.
Imefikia stage siko excited na matokeo ya uwanjani, bali matokeo ya uwanjani yataamua nini nje ya uwanja?
Tusubiri tuone.
Kashughulikie bango boss.Simba kwisha habari yenu, vipigo vitaendelea kwa kipindi cha miaka 10.
Kmmk daahπ₯² ebuu kwanzaaHuu ni ukatili dhidi ya binaadamu... Simba msikubali
View attachment 2969329
Me imeniudhi kinoma.Mbona waneruhusu hao makolo kuchafua rekodi nzuri?
Tusubiri tuone, muda utaamua.Ok boss, Sasa tutegemee Mo kuondolewa maana according to you hii mechi ndo ilikuwa inatumika either try again kutoka au Mo.
Sawa.Tusubiri tuone, muda utaamua.