Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 30 ijayo nanyi mtakua kwenye historiaZama za kale Mtani. π
Mbona Unawapunguzia Leo Ni 75G inaweza kujirudiaππ
Leo kwa wifi hakuna unyumba mpaka Jumatatu......Inabidi shemeji
Huu msimu tumenyanyasika mno.Kwa kweli hapa moyo umejaa hasira Sanaa..
Ngoja Ni be calm pia ninywe maji mengi..
Mpira tunacheza vizuri tunapata nafasi SEMA tunakosa watu wenye ubunifu pale mbele...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtaniii kwa leo, hata cna mshtukoo.Mtani dawa ni nazo maumivu yakizidi utanambiia. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ππππilitakiwa nioe mwakani ila mmeniwahisha..Ndoa ya mkeka hii bila kupendaππ sisi ndiyo Yangaa
Mkuu nakusalimia.π€£π€£π€£π€£
Pole sana best, kunywa Sprite ya baridi upunguze jazba kidogo π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulishindwa nawe kuiba? Poleeee uduguu.
Leo hata 30 fungeni, hatuna habari kabisaaa.
Zanzibar Tulienda Kupunguza Idadi Za Magoli Kutoka 20 Hadi Saba.Ndo kusema Zanzibar tulienda kupoteza muda. π€£π€£π€£
Ngoja tuone sec half.Yeah ni kweli yaani Hiii Timu ya Kijinga sana
Utanipa breastfeedingLeo kwa wifi hakuna unyumba mpaka Jumatatu......
Nasemajeeeeeeeeeee.......mtoto halali na mpira, analala na π©!!!