Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa unanijua ?Jina lake linaanza na herufi S na linaishia na A.
Ni maji ya kunde ana kimo cha kati.
Sema kama nimesema uongo
financial servicesNakusalimia tu mkuu
Hakukuwa na mipango tangu mechi inaanzaMipango ya kurudisha goli hatuna. Tumefeli.
Anatoka mkoa wa Moshi!We jamaa unanijua ?
Umegusa mule mule jina tu ndonumekosea.
Sema nina pisi ina jina linaloanza na S na linaishia A ila huyo sie..
Kupata vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi?Simba sc atashinda kwa kishindo
Noo sio kabisaAnatoka mkoa wa Moshi!
Tushakubari ndo maana unaona tumekuwa wapoleSimba mpaka mtakapo kubali kuwa mna shida kuanzia uongozi hadi team
Muhindi hawezi kushindana na Mwarabu kwenye kugharamia timuSimba mpaka mtakapo kubali kuwa mna shida kuanzia uongozi hadi team
Kocha aliishafukuzwa. Walikuwa wanasubiria tu hii mechi.Na mki fukuza kocha mtakua vilaza wa mwisho ..
Fred katutoa kimasomaso. Angalau moja limerudi.Hakukuwa na mipango tangu mechi inaanza