Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
KibabageYa nani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KibabageYa nani ?
HakikaMe imeniudhi kinoma.
Inakuaje kibonde amechafua gazeti?
Japo tumeshinda leo, lakini mchezo sijaufurahia.
Kwahiyo kwa akili yako unaona mmeshinda leo kwa kuwa hakuna 5 na Yanga hawawezi weka bangoKashughulikie bango boss.
Yanga apewe kombe lake!🏆Kwa hiyo Yanga ni bingwa
Naami, Today Simba tried to play a good futbal, ze problem few few.
Mabango FC.Yanga hawawezi weka bango
Muda Bado sanaYanga apewe kombe lake!🏆
Hahaha bora simba ilivyofungwa mo aondoke siyoWe unafikiri akina Hersi nao wamelala?
Acha ku edit comment yangu nyau wewe. Ijibu kama ilivyoMabango FC.
Kwa hiyo hata hili linahitaji mhasibu?Muda Bado sana
Bado mechi 10
Msijisahaulishe
mpaka hatuna nguvu tenaMashabiki wa yanga tunashangilia kila siku hadi tumechoka......
Mambo JaddaHahaha bora simba ilivyofungwa mo aondoke siyo
😏We huogopiiiiiii [emoji23][emoji172][emoji169]View attachment 2969334
Sasa Simba magoli yenu mengi si mnashinda kwa penatiMigoli Yenyewe ya penati na offside
Chura, bei za mabango zimepanda?Acha ku edit comment yangu nyau wewe. Ijibu kama ilivyo
Sibishani na mapunga MimiChura, bei za mabango zimepanda?
Dah! Babu!Noo sio kabisa
Hii mechi ya lini mkuu?Huu ni ukatili dhidi ya binaadamu... Simba msikubali
View attachment 2969329