FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

Leo mashabiki wa Yanga na Simba mtatapika yote ya moyoni, viongozi wenu waliwashika masikio na kuwaaminisha wamesajiri wachezaji wenye viwango vya ulaya kumbe hawana hata sifa ya kucheza ndondo cup.

Mpaka Sasa Mechi imebebwa na wachezaji wale wale wa siku zote.
 
Leo mashabiki wa Yanga na Simba mtatapika yote ya moyoni, viongozi wenu waliwashika masikio na kuwaaminisha wamesajiri wachezaji wenye viwango vya ulaya kumbe hawana hata sifa ya kucheza ndondo cup.

Mpaka Sasa Mechi imebebwa na wachezaji wale wale wa siku zote.
Sidhani kama ni fact sana kwasababu mpaka kupata muunganiko kuna hitaji muda na sio swala la kulipima kwenye mechi mbili
 
Back
Top Bottom