Kwa naniRefa katoa penati huku waungwana njoooni muone
Amekuwa dustbin baada ya penati ya Yanga au kitokumpa Sospita Bajana red card?Refa🚮🚮🚮
Mbona hukusema kabla hajampa mchezaji wa Azam red card?Hawa ndio Waamuzi wa FIFA?
Hmmmh hahahaha umesahau goli ambalo mpira ulitoka nje[emoji2957][emoji23][emoji23].Amekuwa dustbin baada ya penati ya Yanga au kitokumpa Sospita Bajana red card?