uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Mshkaji hadi wewe ni uto?Timu iko nafasi ya 14 kwenye ligu.
Alikutoa
Huoni aibu hata kidogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshkaji hadi wewe ni uto?Timu iko nafasi ya 14 kwenye ligu.
Alikutoa
Huoni aibu hata kidogo?
Tabora United ni bora kuliko waliopigwa hamsa.Yanga imewaonea huruma, ilitakiwa ichapwe tano.....wakasimuliane na majirani zao
Naendelea vyema,Afadhali, unaendeleaje
Vipi; walisikiliza ushauri wako? Kama hawakukusikiliza, tayari kitu kizito kimeshawaangukia isijekuwa kimewakuta hawakujiandaa.Leo pacome yupo Tabora united wajiandae kisaikolojia
Niliwaonya mapema ila hawakunisikiaVipi; walisikiliza ushauri wako? Kama hawakukusikiliza, tayari kitu kizito kimeshawaangukia isijekuwa kimewakuta hawakujiandaa.
Nimegundua Utopolo ni Mbumbumbu+ na ndo maana walizolewa na upepo. Ukweli ni kwamba ile hukumu haimhusu Mchezaji bali klabu. Kwenye uhamisho wa Mchezaji, timu inayonunua Mchezaji inaweza kukubaliana na timu inayouza Mchezaji kulipa Ada ya Uhamisho kwa awamu. Sasa hayo makubaliano huwa yanasimamiwa na FIFA ili kuhakikisha Mdaiwa analipa. Ukichelewa kulipa ndo unakumbana na lile rungu walilopigwa Uto kama njia ya kuwashikiza. Makubaliano haya hayamhusu kabisa Mchezaji kwa sababu mchezaji anakuwa na makubaliano yake na timu mpya na klabu ya zamani na yenyewe huwa na makubaliano yake na klabu mpya. Na klabu zikishakubaliana tu kuhusu kulipana kwa awamu, Mchezaji husika anakuwa Mchezaji Halali wa klabu mpya na ataidhinishwa, na yatakayotokea baadae yeye hayamhusu.
Mguu wa beki uliua offside ukiangalia vizuri. VAR za mambele huko zinakuonyesha hata inch moja tu inavyoua offside.Sijaangalia mpira ila ona hii offside kuelekea goli la kwanza na mshika kibendera yuko hapo hapo
View attachment 2978564
Usiijumuishe Simba katika hiyo kauli yako maana Simba imekuwa kama timu ndogo tu, hadi marefa wanaionea wanavyojisikia. Najua ukijifungia ndani ukakaa mwenyewe unajua kabisa hiyo ni offsideMguu wa beki uliua offside ukiangalia vizuri. VAR za mambele huko zinakuonyesha hata inch moja tu inavyoua offside.
Ila tufanye hiyo ni offside Yanga kabebwa. Kwani mzee bado hujazoea tu Yanga na Simba kubebwa. Hayo matukio ya offside yapo sana na tumeyazoea. Kwahiyo hayo mambo ni yale yale hakuna jambo jipya hapo.
😃😃😃Mashujaa iko nafasi ya ngapi
Embu tuchoree mstari wa offside positionSijaangalia mpira ila ona hii offside kuelekea goli la kwanza na mshika kibendera yuko hapo hapo
View attachment 2978564
TopoloKwani nimetaja timu gani?
Usiijumuishe Simba katika hiyo kauli yako maana Simba imekuwa kama timu ndogo tu, hadi marefa wanaionea wanavyojisikia. Najua ukijifungia ndani ukakaa mwenyewe unajua kabisa hiyo ni offside
Usiijumuishe Simba katika hiyo kauli yako maana Simba imekuwa kama timu ndogo tu, hadi marefa wanaionea wanavyojisikia. Najua ukijifungia ndani ukakaa mwenyewe unajua kabisa hiyo ni offside
Endeleeni kuongea ila sisi point tatu tushachukuaNa ndiyo maana nimesema tufanye hiyo ni offside na Yanga kabebwa. Na hizi drama za marefa kwa timu ya Yanga ni kawaida sasa. Marefa kufunguwa ni kawaida sababu ya kuibeba Yanga.
Kwa nini bro?Ombi langu kwa injinia
Mkude na okrah wajengewe bar avic Town
Maana sio kwa kukiwasha huku wajameni
Yanga 4
Tabora 0
Lile ambalo ndugu zetu walitumia mechi mbili kushinda [emoji88][emoji1787]Tuntura CUP ndio lipi hilo mkuu?
Yanga wanafujo sana, sasa ndio nini hii tabia ya kufukuzisha makocha wawili ndanibya msimu mmoja hapo mtaa wapiliIvan Stepanov njoo tuangalie ball