Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Yanga itabaki mawinguni......Siku zenu zinahesabika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga itabaki mawinguni......Siku zenu zinahesabika.
Kipa katenguka kiunoBaccarat amekosa
Upo mwananchiWatupe tu hilo kombe kusave muda 😆😆😄😄😄😄😄 mambo yasiwe mengi
Kama putoYanga itabaki mawinguni......
Ikikutana na timu za hovyo kama hiziYanga itabaki mawinguni......
Tafuteni mademu wenu wa 5imba,hawa wa Wananchi waacheni msiwatie gundu.Upo mwananchi
Ubuntu bothoooIkikutana na timu za hovyo kama hizi
🔥🔥Drink 🍷 and save water
EwaaaaaaaahhhhhKama puto
Yamekua haya princess arianaTafuteni mademu wenu wa 5imba,hawa wa Wananchi waacheni msiwatie gundu.
Tutajie timu ambayo haijafungwa na Yanga.Timu iko Nafasi ya 11 kwenye ligi.
Unafurahia kuifunga.
Huoni tabu hata kidogo?
Mtoto mzuri kama wewe kushangilia Yanga ni ukatili wa kijinsia kabisa aiseeJOSEPH NANIIIIIIIIIIIIIII
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mnamwona Zuzwa wenu? anachechemeaTafuteni mademu wenu wa 5imba,hawa wa Wananchi waacheni msiwatie gundu.
Wanatushobokea kisa kwao hamna pisi kalii🤸Tafuteni mademu wenu wa 5imba,hawa wa Wananchi waacheni msiwatie gundu.
Afadhali, unaendeleaje🔥🔥
Nipo na disposable mkononi hapa mzee mwenzangu..!!
Na ya tatu kwenye msimamo ubao bado unasoma 7:2 🤣🤣🤣Timu iko Nafasi ya 11 kwenye ligi.
Unafurahia kuifunga.
Huoni tabu hata kidogo?
Wamfahamu cocasticWanatushobokea kisa kwao hamna pisi kalii🤸
Watakuaje na pisi Kali wakati muda wote zimenuna tuuuWanatushobokea kisa kwao hamna pisi kalii🤸
Nimegundua Utopolo ni Mbumbumbu+ na ndo maana walizolewa na upepo. Ukweli ni kwamba ile hukumu haimhusu Mchezaji bali klabu. Kwenye uhamisho wa Mchezaji, timu inayonunua Mchezaji inaweza kukubaliana na timu inayouza Mchezaji kulipa Ada ya Uhamisho kwa awamu. Sasa hayo makubaliano huwa yanasimamiwa na FIFA ili kuhakikisha Mdaiwa analipa. Ukichelewa kulipa ndo unakumbana na lile rungu walilopigwa Uto kama njia ya kuwashikiza. Makubaliano haya hayamhusu kabisa Mchezaji kwa sababu mchezaji anakuwa na makubaliano yake na timu mpya na klabu ya zamani na yenyewe huwa na makubaliano yake na klabu mpya. Na klabu zikishakubaliana tu kuhusu kulipana kwa awamu, Mchezaji husika anakuwa Mchezaji Halali wa klabu mpya na ataidhinishwa, na yatakayotokea baadae yeye hayamhusu.Sidhani kama kuna mjadala wa maana wa kufanya hapa labda kama unataka tupoteze muda tu kupiga soga maana bado sijaelewa unachopinga ni nini wakati unakubali kuwa kuna hukumu ya FIFA inayomuhusu mchezaji wa Yanga halafu haujui hukumu inasemaje na haujui mchezaji huyo ni yupi.
Hapa tunaongea kuhusu Tabora na UtoNa ya tatu kwenye msimamo ubao bado unasoma 7:2 🤣🤣🤣