Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
NyumbaniUnatesekea wapi mkubwa na mei mosi hii.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NyumbaniUnatesekea wapi mkubwa na mei mosi hii.....
Kabisa maana pancha nyingine tenaAucho tukutane next Season [emoji1787]
Poa, endelea kuinjoi pira la maana toka kwa wananchi dhidi ya wakulima wa tumbaku kutoka taboraNyumbani
Kuna pira gani hapo darling?Poa, endelea kuinjoi pira la maana toka kwa wananchi dhidi ya wakulima wa tumbaku kutoka tabora
Kwamba haulioni?🤣🤣🤣 Na hayo mabao hauoni jamani....Kuna pira gani hapo darling?
Punguza mahaba
Teh teh teh sio usajili wake magumashi tena?kweli mbumbumbu msimu huu tumewaweza kudaddadeki kila tawi mnaloshika kujiokoa linakatikahuyu Pacome uto wanaforce tu bado hajawa sawa
Kulikuwa na ulazima gani kutaja tumbaku🤣Poa, endelea kuinjoi pira la maana toka kwa wananchi dhidi ya wakulima wa tumbaku kutoka tabora
You playing with poor teamKwamba haulioni?🤣🤣🤣 Na hayo mabao hauoni jamani....
🤣🤣🤣Teh teh teh sio usajili wake magumashi tena?kweli mbumbumbu msimu huu tumewaweza kudaddadeki kila tawi mnaloshika kujiokoa linakatika
Basi walina/warina asali....🤣🤣🤣🤣Kulikuwa na ulazima gani kutaja tumbaku🤣
Mashabiki wa yanga tusiwasikilize MakoloTeh teh teh sio usajili wake magumashi tena?kweli mbumbumbu msimu huu tumewaweza kudaddadeki kila tawi mnaloshika kujiokoa linakatika
Sijui kizungu dear....You playing with poor team
GuedeeeeePacome in
Jamaa atengweGuedeeeee
Subiri mechi imalizike then tuhesabu magoli kama yatafika 5G ndio tujue Kolo na Tabora nani timu dhaifu.You playing with poor team
WeeePoa, endelea kuinjoi pira la maana toka kwa wananchi dhidi ya wakulima wa tumbaku kutoka tabora
Gueddeeeeeeee🤸💛💚Basi walina/warina asali....🤣🤣🤣🤣