Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Chama la ushindii 💚💛Gueddeeeeeeee🤸💛💚
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama la ushindii 💚💛Gueddeeeeeeee🤸💛💚
Beki ya hovyo kabisaSubiri mechi imalizike then tuhesabu magoli kama yatafika 5G ndio tujue Kolo na Tabora nani timu dhaifu.
Angalia tom and jerry mdogo angu, hapa utatesekaWeee
Drink 🍷 and save waterGueeeeeedeeeeeeee.....🔥🔥🔥🔥
And this is Yaaaaaaaaaaaaaaaaanga..
Samahani silaha nzito haziruhusiwi kuzitumia kwa mashabiki wa Simba, hawa watu wanahitaji faraja kipindi hiki. Kemea ukatili dhidi ya mashabiki wa Rage FCSijui kizungu dear....
Ila ni kweli hiyo team ni levo za simba sijui wametuonaje kutuchezesha nao walima tumbaku
Hao wala hawatupi shida,kama Kispika anawafanya wajinga kila leo ndio watupe shida sisi.Mashabiki wa yanga tusiwasikilize Makolo
Wao wamezoea umbea uzushi kwenye timu lao
My wetu sioHizi timu tinazionea tu mlengwa kashatukimbia ndo tulikuwa tunamtaka
Sidhani kama kuna mjadala wa maana wa kufanya hapa labda kama unataka tupoteze muda tu kupiga soga maana bado sijaelewa unachopinga ni nini wakati unakubali kuwa kuna hukumu ya FIFA inayomuhusu mchezaji wa Yanga halafu haujui hukumu inasemaje na haujui mchezaji huyo ni yupi.Mlisema Pacome ndiye anayehusika kufungiwa kwa Yanga ndio maana hachezi haya leo huyo hapo uwanjani bado mlivyoongopeana mitaani bado unalo?
Ndio niniAngalia tom and jerry mdogo angu, hapa utateseka
Siku zenu zinahesabika.Sijui kizungu dear....
Ila ni kweli hiyo team ni levo za simba sijui wametuonaje kutuchezesha nao walima tumbaku
Kama ule ukuta wa Yericko uliocheza match 22 za ligi kuu na kufungwa goli 23 sioBeki ya hovyo kabisa
Timu iko Nafasi ya 11 kwenye ligi.
Unafurahia kuifunga.
Huoni tabu hata kidogo?
Yanga anapata free kickJamaa atengwe
Sure boooooooyYanga anapata free kick
Labda hizo siku ahesabu Mangungu na Jaribu TenaSiku zenu zinahesabika.
Baccarat amekosaSure boooooooy