FT: Yanga 3-0 Tabora United | CRDB Bank Federation Cup | Azam Complex | 01.05.2024

FT: Yanga 3-0 Tabora United | CRDB Bank Federation Cup | Azam Complex | 01.05.2024

Pacome zouzou anaingia kuchukua nafasi ya Stephen Aziz Ki
 
Sasa kama haujui mchezaji ni yupi na haujui hukumu yake inasemaje, kipi kinakupa ujasiri wa kuongea unachoongea? Nini hasa unatetea au kupinga kama hauna taarifa ya kile unachokiongea?
Mlisema Pacome ndiye anayehusika kufungiwa kwa Yanga ndio maana hachezi haya leo huyo hapo uwanjani bado mlivyoongopeana mitaani bado unalo?
 
Back
Top Bottom