FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Asante kwa kutoa hoja zako,

1. Rivers waliweza kumiliki mpira kipindi chote cha kwanza walicheza Kitimu

2. Nazungumzia iliwachukua poa kwa kigezo cha matokeo ya msimu miliopita ukizingatia Rivers waliimarika zaidi pia kwa kufanya usajili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…