FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Yanga inapata freekick kama mita 20 toka goli la Rivers...

Ki anapiga mnazi...mpira nje
 
Mpira kusimamishwa zaid ya dakika 20 hi ni kashfa kwa taifa na club ya yanga na kama malalamiko yakifikishwa caf na river wakitoa hoja ambazo zitaonekana zinamashiko kwetu inaweza kutuumiza

Wizara husika zinashindwa kufanyia marekebisho hili tatizo za taa za iwanjaniii? Maana hili tatizo si mara ya kwanza ama ya pili ama ya tatu. Sasa hili ni tabu kwa ustawi wa taifa na mchezo wetu.
 
Huyo mnaemuita Clement sijui Abdul maana kabadili dini hana akili ya Mpira ila anajua kucheza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…