FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Kombe lenu madunduka hilo
 

Attachments

  • ffdafeb59e36437b97d2b82a229b282d.jpg
    4.4 KB · Views: 1
Leo YANGA wana Haki ya kufurahi sana kwani YANGA ilianzishwa Mwaka 1935 leo ni Miaka 88 na toka imeabzishwa imekuwa ikishiriki Mashindano ya CAF na kuishia Hatua za Robo fainali au Raundi ya kwanza na ya Pili.Kwa Mara ya kwanza baada ya Miaka 88 YANGA imefuzu Kucheza NUSU FAINAL ya Kombe la SHIRIKISHO ni AIBU kwa Miaka yote hiyo KUSHINDWA kufuzu hatua ya NUSU FAINAL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…