FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Ubaya ni kuwa wanakimbilia kuanzisha nyuzi na updates hawaleti.

Mechi ya dakika 90 mtu kaleta updates mara 10 tu, Scars huyu mwamba huwa anajitahidi kwa updates..

Hawa wa yanga bure kabisa ananogewa na mechi ama lah speed ya kutype hana.
Kuna watu inakua kama na wewe upo kucheki mechi kwa jinsi walivyo sharp.
 
Yanga itafungwa 1-0, wataenda hadi penati na Yanga atatoka Kwa Penati.
Rekebisha kabla ya hujashambuliwa kama nyuki na Wananchi wasiopenda mambo ya hovyo hovyo.

Kwa matokeo yako haya ya kishirikina, bado Yanga anasonga mbele mkurugenzi.
 
Huu ni uongo [emoji16]

Bado Yanga itashinda tu

1. Umesema Kule Nigeria Yanga ilishinda Kwa mbinu Ila sio quality ya wachezaji. Nitajie wachezaji wa Nigeria walionesha quality kuliko wa Yanga...

2. Unasema Rivers waliwachukulia Yanga poa.. huu ni uongo kumbuka Yanga walishanesha dharau nyingi Kwa Rivers siku ya kupangwa droo Hadi wakashangilia kupangwa na rivers sasa hapo Nani alimchukulia poa mwenzake...

3. Umezungumzia kua physically fit haahhahaa Yanga wapo fit kiakili na kimwili kuliko hao wapopo kumbuka Ile faulo Yao walipiga mshambuliaji anateleza mwenyewe it means n wazito.. rejea tena Yule beki alivokimbizwa na Jesus ducapel Moloko [emoji28]

FAMASIALA NINI !!...

[emoji172][emoji169]
 
Nje ya mada kidogo. Hivi kihistoria waanzilishi wa timu ya simba walikuwa kina nani? Walikuwa watanzania kweli? Ukiachana tu na rangi zao rasmi kuwa haziwakilishi chochote Tanzania ila hata nembo yao hamna popote inapoiwakilisha Tanzania. No wonder wakifikwa na mabaya nchi nzima inakuwa na furaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…