FT: Yanga S.C 0-0 Rivers United | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 30.04.2023. Yanga yatinga Nusu Fainali

Lile lililobadili dini sababu ya Binadamu mwingine ilihali kiumbe chenyewe huwa hakitabiriki ndiyomaana tuliambiwa tuishi nacho kwa akili.
Hapa sasa nimegundua shida sio kukosa nafasi 2 za wazi, shida ni hiyo kubadili dini.
Tuwaache watu na maamuzi yao, kama tunaona tunapitwa na hilo si vibaya kuwaiga kuliko kujitafutia maradhi ya moyo bure.
 
M. Galant Wana Mpira wa Kasi sana. Btw mwakani mjitahidi muingie hata robo mashindano ya CAF.
Hapa kikubwa ni kuutumia vyema Uwanja wa Mkapa kwenye game ya kwanza.

Eti tujitahidi. Lol.
 
Hongereni sana Uto..πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…